2017-04-24 09:07:00

Kard. Mstaafu P.Poupard mjumbe maalum wa Papa huko Avignon Ufaransa


Baba Mtakatifu Francisko amemteua Kardinali Paul Poupard, Rais Mstaafu wa Baraza la Kipapa la utamaduni, kuwa mwakilishi wake maalum  katika maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 700 ya Mikutano ya Mababa watakatifu huko Avignon ,mji mmoja kusini mwa Ufaransa. Ratiba ya maadhimisho hayo inatarajiwa kuanza tarehe 23-25 Juni 2017.

Sr Angela rwezaula

Idhaa ya Kiswahili ya Radio Vatican

 








All the contents on this site are copyrighted ©.